Zitto Kabwe Aanza Vizuri ACT Wazalendo, Afanya Mkutano wa Kwanza Songea, Watu Wafurika Kumsikiliza





Picha Kiongozi wa ACT Wazalendo Ndugu Zitto Z.Kabwe akihutubia umati mkubwa wa wana Songea waliohudhuria kumsikiliza,ikiwa ni ziara yake ya kwanza toka ang'atuke katika chama cha CHADEMA.