Watu 9 wakamatwa Msikitini wakiwa na vifaa vya mlipuko, Sare za Jeshi, Majambia na vifaa vya Kuficha Nyuso



Watu 9 wamekamatwa wakiwa wamejifungia kwenye msikiti wa Soni Morogoro wakiwa na vifaa vya milipuko hatari! Watu hao ni watanzania 




Katika purukushani hizo polisi mmoja amenusurika kuuawa baada ya kukatwa na jambia shingoni.