NUHU MZIWANDA KINGEREZA CHAMPIGA CHENGA ACHAPIA KINGEREZA MARA TATU MFULULIZO









 

Sasa ndugu yangu NUHU umezidishaaa khah...Tutamwambia Shishi aache kukupiga TUKUPIGE SISI maana unatuvurugaaaa kwakweli halafu HUKOMI,unaangusha 1 baada ya lingine kudaadeki... Ipo siku utaumwa Kichwa halafu utaandika "Iam going to table the tablets of head pain" (Naenda kumeza dawa za maumivu ya kichwa) WALLAH TUTAKUPIGA