CCM LINDI YAKUTANA KUWEKA MIKAKATI MIZURI


Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akitoa salaam za pongezi kwa wananchi wa kijiji


cha Kilangala B kata ya Kilangala  kwa kuipa ushindi CCM kwenye uchaguzi serikaliza mitaa uliofanyika desemba 2014, Katika mkutano huo Nape aliwaeleza wananchi hao


CCM ndio chama pekee kinachotoa majibu kwa matatizo ya wananchi.

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa na Mwenyekiti  aliyeshinda uchaguzi Hamid Rashid Namtonda akitoa salaam za kushukuru wakazi wa kijiji cha Kilangala B kata ya Kilangala jimbo la Mchinga.
 Mwenyekiti wa kijiji cha Kilangala B akiwashukuru wananchi wake kwa kumchagua kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa ,vijiji na vitongoji uliofanyika desemba 2014.
 Mbunge wa Jimbo la Mchinga Mheshimiwa Said Mtanda akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kilangala B wakati wa kumtano wa kuwashukuru na


kuwapongeza wananchi wa kijiji hicho kuichagua CCM, mkutano huu ulifanyika tarehe 11 Januari 2015.
 Wananchi


wakisikiliza salaam za shukrani kutoka kwa Viongozi wao.

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimu Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM mkoa wa Lindi.
 Mbunge wa Jimbo la Mtama na Waziri wa Mambo ya Nje Mheshimiwa Bernard Membe akiwasalimu wajumbe waliohudhuria kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM mkoa wa Lindi.
MNEC wa Wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete akishauriana jambo na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Mwantumu Mahiza wakati wa kikao cha


Halmashauri Kuu ya CCM mkoa wa Lindi
Sehemu ya wajumbe waliohudhuria


Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM mkoa wa Lindi