Monday, December 15, 2014 SAMANTHA WA BBA KUTUA DAR Mshiriki wa BBA kutoka Afrika Kusini, Samantha. SAMANTHA KUTUA DAR: Mshiriki wa BBA kutoka Afrika Kusini, Samantha leo anatarajiwa kutua nchini kuungana na mshindi wa Mil. 514 za shindano hilo, Idris Sultan!