| Ofisa wa Upelelezi wa Ilala, Daivd Mnyambunga katikatia akijadiliana jambo na viongozi wa CCM akiwaambia kuwa inatakiwa waondoke |
| Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala Ernest Charles akiwasihi wafuasi wake wa CCM kuondoka |
| Polis wakiwa wanajiandaa kwa kazi |
| Hapo Cuf walianzisha muzikii wakitaka kuruhusiwa kuendelea na shughuli zao za mkutano |
Mkuu wa Habai na Uenezi wa CUF,Mkuu wa Habari na Uenezi wa Taifa wa chama hicho, Abdul Kambaya
|
| Huyu jamaa alianza kujiandaa kwa mapambano akikunja suruali |
| Mkuu wa upelelezi wa Ilala akaamua kumwambia aliekuwa akichezesha nyimbo wa CCM kuzima muziki haraka sana |
| Akasimamiwa kuhakikisha kuwa kazi inafanyika na ndipo alitii na kisha wanachama wa CCM kutimka |
| Polis waliendelea kuimarisha doria la nguvu |
| CCM haooo wakapanga viti vyao na kuondoka |
| Polis wakaendeleza doria |
| Cuf wakifurahia hatua ya Polis |
| Wananchi wakishangaa |
| Wanamama wa CUF wakaanza kujimwayamwaya na muziki wao |
| Hao walikuwa CCM kabla ya kutimuliwa |