Mtiti mzito CCM na Cuf leo Buguruni, Polis waingilia kati wawatawanya CCM



Ofisa wa Upelelezi wa Ilala, Daivd Mnyambunga katikatia akijadiliana jambo na viongozi wa CCM akiwaambia kuwa inatakiwa waondoke

Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala Ernest Charles akiwasihi wafuasi wake wa CCM kuondoka

Polis wakiwa wanajiandaa kwa kazi

Hapo Cuf walianzisha muzikii wakitaka kuruhusiwa kuendelea na shughuli zao za mkutano

Mkuu wa Habai na Uenezi wa CUF,Mkuu wa Habari na Uenezi wa Taifa wa chama hicho, Abdul Kambaya

Huyu jamaa alianza kujiandaa kwa mapambano akikunja suruali

Mkuu wa upelelezi wa Ilala akaamua kumwambia aliekuwa akichezesha nyimbo wa CCM kuzima muziki haraka sana

Akasimamiwa kuhakikisha kuwa kazi inafanyika na ndipo alitii na kisha wanachama wa CCM kutimka

Polis waliendelea kuimarisha doria la nguvu

CCM haooo wakapanga viti vyao na kuondoka

Polis wakaendeleza doria


Cuf wakifurahia hatua ya Polis

Wananchi wakishangaa

Wanamama wa CUF wakaanza kujimwayamwaya na muziki wao

Hao walikuwa CCM kabla ya kutimuliwa