MACHINGA WASAMBARATISHWA KWA MABOMU YA MACHOZI KARUME!..

MACHINGA DAR WASAMBARATISHWA KWA MABOMU YA MACHOZI KARUME

Baadhi ya wananchi na machinga wakikimbia.
Hali ilivyokuwa baada ya kutawanywa.
ENEO la Karume  jijini Dar es Salaam jana lilirindima kwa mabomu ya machozi kufuatia polisi na askari wa jiji kuwatawanya wafanyabiashara wadogo (machinga) katika eneo hilo linalosadikiwa kutumika kinyume na taratibu.