KAZI ya kuvunja jengo la ghorofa 16 lililojengwa kinyume cha taratibu za kitaalam inaendelea jijini Dar es Salaam katika Mtaa wa Indira Ghandi. Amri hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar, Said Meck Sadick, kutokana ushauri wa wataalam.
Friday, February 12, 2016
Taswira ya jengo la ghorofa 16 linalovunjwa Dar
KAZI ya kuvunja jengo la ghorofa 16 lililojengwa kinyume cha taratibu za kitaalam inaendelea jijini Dar es Salaam katika Mtaa wa Indira Ghandi. Amri hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar, Said Meck Sadick, kutokana ushauri wa wataalam.