Linah: Wasanii wa Bongo Wakiweka Picha Mtandaoni na Kuvaa Kama hivi Wanapondwa ila Picha Kama Hiyo Akiweka Rihanna Wanamsifia






Msanii Linah anasema wasanii wa bongo wakiweka picha kwenye mitandao ya jamii wanapondwa,picha hiyo hiyo akiweka Rihanna anasifiwa kisha akamalizia kwa kusema Tusupport wa nyumbani.




Wewe unalipi la kushauri hapa?