List ya wanawake wenye mvuto zaidi kwenye tasnia ya bongo movie iliyotolewa na mtandao wa bongo movie ndio hii. Namba moja imechukuliwa na mwigizaje asiyeweka mambo yake wazi Welu Sengo.
- Anaitwa Welu Sengo
2. Yobnesh Yusuph Aka Batuli
3. Tatu imechukuliwa na Wema Sepetu
4.Elizabeth Michael aka Lulu
5. Irene Uwoya
Unamtazamo gani juu ya hii list iliyotolewa na mtandao wa Bongo Movie ?