Monday, March 23, 2015 Afande Sele (Seleman Msindi) ajiengua CHADEMA na kujiunga na ACT Kumfuata Zitto Kabwe Mwanamiziki Suleiman Msindi (Afande Sele) Asubuhi hii naye amejiengua CHADEMA na amejiunga pamoja na Zitto katika Chama cha ACT. Una Maoni Gani?