Afande Sele (Seleman Msindi) ajiengua CHADEMA na kujiunga na ACT Kumfuata Zitto Kabwe









Mwanamiziki Suleiman Msindi (Afande Sele) Asubuhi hii naye amejiengua CHADEMA na amejiunga pamoja na Zitto katika Chama cha ACT.

Una Maoni Gani?