RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM LEO



Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali



Mbunge wa Namtumbo Mhe. Vita Kawawa aliyelazwa katika hospitali
ya AMI jijini Dar es salaam akipatiwa matibabu ya tumbo. Katikati yao
ni Mhe Adam Malima, nai bu Waziri wa Fedha na kushoto ni Daktari



100%; padding: 0px; position: relative; text-align: start; word-wrap: break-word;" />katika wodi hiyo.