MAZISHI MWILI WA AISHA MADINDA YALIKUWA HIVI.....>>>

HATIMAYE mwili wa aliyekuwa mwimbaji na mnenguaji wa Twanga Pepeta, Aisha Madinda umezikwa jioni hii katika makaburi ya Kibada, Kigamboni jijini Dar es Salaam.

Mamia ya wakazi wa Jiji la Dar wamejitokeza na kuhudhuria maziko ya msanii huyo aliyefariki dunia juzi. Mungu ailaze roho ya marehemu AISHA MADINDA mahali pema peponi. AMEN.
Mwili wa Aisha Madinda ukiswaliwa kabla ya maziko huko Kigamboni jijini Dar hivi punde.
Akina mama wakiuombea mwili wa marehemu Aisha Madinda.…


Mwili wa Aisha Madinda ukiswaliwa kabla ya maziko huko Kigamboni jijini Dar hivi punde.
Akina mama wakiuombea mwili wa marehemu Aisha Madinda.
Jeneza lenye mwili wa marehemu Aisha Madinda likiwa mbele ya waombolezaji.
Mtoto wa kike wa marehemu akiwa amezimia baada ya mwili wa mama yake kuwasili Kigamboni.
Jeneza lenye mwili wa marehemu Aisha Madinda wakati likiwasili nyumbani kwao marehemu Kigamboni, Dar.
Maziko ya mwili wa marehemu Aisha Madinda yakifanyika katika makaburi ya Kibada, Kigamboni jioni hii.
Mwili wa Aisha Madinda ukishushwa kaburini.…
Maziko ya mwili wa marehemu Aisha Madinda yakifanyika katika makaburi ya Kibada, Kigamboni jioni hii.
Mwili wa Aisha Madinda ukishushwa kaburini.
Maziko yakiendelea.
Waombolezaji wakiweka udongo katika kaburi la Aisha Madinda.
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Aisha Madinda kuelekea makaburini.


Waombolezaji wakiwa makaburini.