FILIKUNJOMBE AWATIMIZIA AHADI YA MAJI WANANCHI WA KITEWELE ZAIDI YA TSH MILIONI 26 ZATUMIKA




Mbunge  wa  jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe kushoto akikabidhi  masaada wa vitaa vya  maji  safi  vyenye  thamani ya Tsh milioni 26  kwa wananchi  wa  kijiji  cha Kitewele  kata ya Mawengi Ludewa  leo
Wananchi  wa kijiji  cha  Kitewele  kata ya Mawengi  Ludewa  wakiwa wamebeba bomba za maji  zilizotolewa na mbunge  wao Deo Filikunjombe  kwenda  kijijini kwao umbali  wa  zaidi ya Km 6 kutoka eneo la barabara  ziliposhushwa  bomba  hizo
Wananchi  wa  kijiji  cha Kitelewe wakishiriki kubeba  bomba  za maji zilizotolewa  msaada   na mbunge  wao Filikunjombe
Wannchi  wa Kitewele  wakimpokea mbunge Filikunjombe kushoto