Thursday, December 11, 2014
FILIKUNJOMBE AWATIMIZIA AHADI YA MAJI WANANCHI WA KITEWELE ZAIDI YA TSH MILIONI 26 ZATUMIKA
 |
| Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kushoto akikabidhi masaada wa vitaa vya maji safi vyenye thamani ya Tsh milioni 26 kwa wananchi wa kijiji cha Kitewele kata ya Mawengi Ludewa leo |
 |
| Wananchi wa kijiji cha Kitewele kata ya Mawengi Ludewa wakiwa wamebeba bomba za maji zilizotolewa na mbunge wao Deo Filikunjombe kwenda kijijini kwao umbali wa zaidi ya Km 6 kutoka eneo la barabara ziliposhushwa bomba hizo |
 |
| Wananchi wa kijiji cha Kitelewe wakishiriki kubeba bomba za maji zilizotolewa msaada na mbunge wao Filikunjombe |
 |
| Wannchi wa Kitewele wakimpokea mbunge Filikunjombe kushoto |