55 515
906 AU EMAIL Y
Prof Ibrahim Lipumba AMLUPUA mama Salma Kikwete ni katika Oparetion delete CCM.
Mwenyekiti wa cha wananchi Cuf Prof Ibrahim Lipumba amesema Mama Salma
Kikwete amejiuzia eneo muhimu kwa maendeleo ya wanakijiji kwa bei ya Tsh
8 milioni.
Prof Lipumba alikuwa katika KIJIJI cha KIJIWENI Tarafa ya Mchinga Wilaya
ya LINDI VIJIJINI mkoan wa LINDI baada ya kumaliza ziara yake Wilaya ya
LIWALE, KILWA, na NACHINGWEA.
Katika hali isiyo ya kawaida mamia ya wakazi wa Jimbo la MTAMA
walirudisha kadi za CCM wakida wamechoshwa na CCM na mbunge wake Mhe
Bernard MEMBE.
Akihutubia kwenye VIJIJI vya NACHUNYU, na NAMUNDU, katika jimbo la MTAMA
Prof Ibrahim Lipumba alipokea ma elfu ya wanachama waiotoka CCM kwa
kumchoka mbunge wao Mhe MEMBE.