MR NICE ALIA NA GAZETI LINALO MCHAFUA.


Kupitia ukurasa wake wa Facebook nguli wa TAKEU style na muziki Tanzania Mr Nice amefunguka na kulalamikia gazeti la Mwananchi ambalo limechapisha habari anazo kanusha na kusema si kweli bali wanamchafua. Mr Nice amefunguka kama ifuatavyo: