TAZAMA PICHA ZA AJALI MBAYA GARI LA VINYWAJI BARIDI LUGALO, WATATU WANUSURIKA KIFO!..



 Kioo cha lori cha  mbele kikiwa kimepasuka.




 Makreti ya soda yalivyoanguka.

Baadhi ya kreti za soda zikiwa zimezagaa eneo la ajali.Mmoja wa wahusika akitoka kuzima na kuuchomoa ufunguo wa gari lililopata ajali.
 Askari wa JWTZ wakilinda usalama wa eneo hilo baada ya ajali kutokea

Askari wa usalama barabani wakikagua ajali
Vinywaji mtaroni


Sehemu ya foleni inayosababishwa na gari hilo.
WATU watatu akiwemo dereva wa gari la kampuni ya soda ya Coca Cola walipata michubuko kadhaa katika ajali iliyotokea leo asubuhi maeneo ya Lugalo, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na mtandao huu,  mmoja wa mashuhuda amesema chanzo cha ajali hiyo ni baada ya gari ndogo kuingia ghafla mbele ya gari hilo  kubwa lililokuwa limebeba vinywaji na  ndipo gari kubwa likiwa katika kukwepa likajikuta likianguka ubavu.