Straika wa Liverpool Daniel
Sturridge amesaini mkataba mpya katika
klabu hiyo.
Sturridge ambaye amesain mkataba mrefu wa miaka 5 utakaodumu hadi majira
ya joto 2019 alijiunga na Majogoo wa Anfield mwaka 2013 akitokea Chelsea kwa dau la EURO 12M Na kuwa chaguo la
maneja Brendan Rodger
katika kikosi cha kwanza cha liverpool.
Hadi sasa Sturridge amefunga magoli 36 katika mechi 50 za mwanzo na
kumfanya kuwa mfungaji bora wa Liverpool katika mechi 50 za mwanzo zaidi ya
miaka 100.
