Sophia Simba: Ameamua kumuunga mkono Dr Magufuli: Msimso huo umetolewa na Amina Makilagi
Wameandaa hafla ya kumpongeza mgombea mwenza Samia Suluhu
Mh Nchimbi: Yeye alitoa pongezi kwenye ukurasa wake wa facebook, kumuunga mkono.
Aliyegoma kumuunga mkono ni kimbisa ambaye alikuwa kwnye mashauriano na Mh Lowassa.
Kumbe wote hawa walikuwa wachumia
Wameandaa hafla ya kumpongeza mgombea mwenza Samia Suluhu
Mh Nchimbi: Yeye alitoa pongezi kwenye ukurasa wake wa facebook, kumuunga mkono.
Aliyegoma kumuunga mkono ni kimbisa ambaye alikuwa kwnye mashauriano na Mh Lowassa.
Kumbe wote hawa walikuwa wachumia
